KATIBU Mkuu mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Luteni Yusufu Makamba, amesema Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) imefanya kazi nzuri kwa kuwa imesajiri supa timu ya kucheza ligi ya mwaka 2015.Makamba ametabiri kuwa kazi nzuri iliyofanywa na NEC mjini Dodoma wiki iliyopita itakiwezesha chama hicho kushinda kwa kishindo katika uchaguzi mkuu wa rais na wabunge mwaka 2015.
View attachment 66750
Nasema kama mwanachama wa CCM, lakini pia kama Katibu Mkuu Mstaafu wa chama, tumesajiri wachezaji wa super ligi ya mwaka 2015 wanaosemaCCM itakufa watakufa wao,alitamba Makamba.
AliongezaNaamnini kuwa sisi tumesajiri vizuri,maana usajili ni mzuri, kila aliyesajiliwa akipata nafasi ya kushinda afanye yale yanayotakiwa.Alisema katika uchaguzi huo wao walizingatia zaidi kuunda timu itayochochea ushindi mwaka 2015 na si vinginevyo.
Source: Haki Ngowi!
Mytake:Baba Januari Bwana kashaanza kupiga ramli.....Makamba siasa ya wamachinga na kelele zilishapitwa na wakati sasa ni sayansi zaidi siyo Ramli.
KATIBU Mkuu mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Luteni Yusufu Makamba, amesema Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) imefanya kazi nzuri kwa kuwa imesajiri supa timu ya kucheza ligi ya mwaka 2015.Makamba ametabiri kuwa kazi nzuri iliyofanywa na NEC mjini Dodoma wiki iliyopita itakiwezesha chama hicho kushinda kwa kishindo katika uchaguzi mkuu wa rais na wabunge mwaka 2015.
View attachment 66750
Nasema kama mwanachama wa CCM, lakini pia kama Katibu Mkuu Mstaafu wa chama, tumesajiri wachezaji wa super ligi ya mwaka 2015 wanaosemaCCM itakufa watakufa wao,alitamba Makamba.
AliongezaNaamnini kuwa sisi tumesajiri vizuri,maana usajili ni mzuri, kila aliyesajiliwa akipata nafasi ya kushinda afanye yale yanayotakiwa.Alisema katika uchaguzi huo wao walizingatia zaidi kuunda timu itayochochea ushindi mwaka 2015 na si vinginevyo.
Source: Haki Ngowi!
Mytake:Baba Januari Bwana kashaanza kupiga ramli.....Makamba siasa ya wamachinga na kelele zilishapitwa na wakati sasa ni sayansi zaidi siyo Ramli.