Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,719
- 1,440
Gang Chomba Haa haa haa jamaa alikuwa anaweza sana ,alitia adabu sana waliokuwa wanajiona kuwa wao ndio wao kwa kuchafua chafua hali ya hewa...Hah hah haaah hako unakosema wewe Mkuu kaliitwa Nsia Swai...
Dah sio hako, ila haka ka kwangu hakakuwahi kuwa maarufu.
Picha ya Malecela Peter Lusinde naitafutia flemu ili niweze kuitundika Ofisini au Chumbani kwangu.
Last edited by a moderator: