Gamaha
JF-Expert Member
- Jul 17, 2008
- 3,813
- 4,860
Huyu mtu yupo jijini dar ni wiki iliyopita tu nimemuona sehem. ni kweli jamaa amekuwa chapombe na amebadilika hata sura ni tofauti na nilivyomuona miaka miwili iliyopita. kikazi nadhani ni wale waandishi huru kwa sasa na hasa wale waliojikita kwenye makundi nadhani chama cha magamba wanaelewa zaidi. ila all in all jamaaa amepitiliza sana kwenye ulevi. " TUMUOMBEE JAMANI"