Umeona eeeh ananishusha hadhi..........halafu wewe charminglady utakuwa nothing lady!
charminglady Kwa sababu unaenda vertical wakati mimi nia yangu ni kwenda horizontal....y niwe nothinglady jamani?
ah wapi,me cna hzo sifa bana!
Wapendwa katika bwana muwe na usiku mwema
platozoom - :smile-big:
charminglady - :hug:
@wote mnaochungulia kwa hapo dirishani - :mwaaah:
mh, me lala now. tatizo mnapendaga mambo ya towm. haya nenda Johanesburg South Africa km hutaki kwenda mkuranga ukirudi unipe jibu. platozoom
Nimempenda sana huyu binti/mama. Simjui hanijui.............ukiniuliza kwa nini sina sababu.
Ukiniuliza umempenda kimapenzi nitakujibu "sina hakika"....ukiniambia unampenda kama dada yako nitajibu "Wewe wasema"..............Basi tu yupo moyoni. Naanza kuwapa wasifu wake angalau unaoonekana JF:
1. Mcheshi kwenye maandishi yake ila si sana
2. Anapita sana chitchat na ni mdau mzuri tu
3. Ni kama alishawahi kuumizwa kwa kuporwa mchumba lakini mvumilivu
4. Hujibu hoja kwa kifupi lakini kwa namna ya kuvutia
5. Kuna mjamaa hapa JF anammendea lakini hajafanikiwa
6. Ndio ni binti/mama mzuri tu lakini inaonekana akikukamata kwenye anga zake itabidi ubadilishe ATM card kwa sababu itachakaa mapema.
Nawaachia kitendawili wana CHITCHAT mkitegue: Najua vizuri kuna wadada wengi tu hapa kama Mwali, Mamdenyi, Preta, sweetlady, Kongosho (? ), Erotica, CUTE, @chamingdly, @canatalisia......................na kadhalika, lakini sisemi yumo humo au hayumo!!!
Kumbe nini... wewe chagua kati ya hawa Preta na Mwali wanakufaa.Sina maana hiyo