VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Kwa sura na umbo lake. Umemuona wapi? Ulijisikiaje?
mimi sijajua hata moja ila naamini ipo siku nitakutana na hata 1 natamani sana kukutana na MENTION Madame B
hivi ilikuwaje tukaharibu penzi letu?Mi namjua Bishanga tajiri la ashomire.
leo maisha club ukiona zee lina kitambi limekaa kaunta jua ni bishanga,naomba uni joinmkiva una roho yangu wewe.
Ila nashukuru kwa kuhitaji kuonana na mimi.
Ok Kama uko Dar,
njoo Maisha Club leo usiku huenda tukaonana,
coz me nitakuwa pale.
Ila kama uko Mkoani,
so sorry hutaweza kuniona.
leo maisha club ukiona zee lina kitambi limekaa kaunta jua ni bishanga,naomba uni join
nitakuwa ninafakamia mi henkenteh! teh! teh! teh! teh!
Haya bhana n'takutafuta.
Ila Usije zimika Kaunta!!
Lol!
nitakuwa ninafakamia mi henken
coco beach usiache kula zanzibar mix na mihogo,ila tu mishkaki tudogo mno ila wahindi ndo wanapendelea.Haya Bepari.
Ngoja kwanza nikaanzie ulabu Coco Beach.
Mimi namjua charminglady
coco beach usiache kula zanzibar mix na mihogo,ila tu mishkaki tudogo mno ila wahindi ndo wanapendelea.
mi sijapata kukutana na hata mmoja japo ningependa kuonana nanyi
Mimi namjua charminglady