chloe.obrain
JF-Expert Member
- Feb 25, 2010
- 391
- 20
kuna wakaka wawili aged between 30-35yrs old, mmoja yupo home na wazazi wake yaani yupo chini ya uangalizi wa wazazi, mwingine anajitegemea,anaishi peke yake, wote wanafanya kazi yenye kipato kizuri tu.
yupi anaweza kutunza na kulea familia yake endapo akiamua kuoa?
Let's say wanafanana kwa baadhi ya tabia mfano kumcha Mungu, si walevi, wanajali, wana huruma ........n.k.
tujadili plz!
yupi anaweza kutunza na kulea familia yake endapo akiamua kuoa?
Let's say wanafanana kwa baadhi ya tabia mfano kumcha Mungu, si walevi, wanajali, wana huruma ........n.k.
tujadili plz!