Mchomamoto
Senior Member
- Aug 19, 2011
- 169
- 36
EMT!! awali ya yote naomba nikushukuru kwa muda wako.asante kwa kupoteza muda mwingi kwa ajili yangu. i real appreciate.
1.Mwnyewe anayajua sana, tulishayaongelea sana especially when discussing the progress of our relationship. all the time it is face to face. i used a very polite and even romantic way of saying it. yeye anasema kua itakua simpendi thats why naona kama harufu na pumzi zetu haziendani. nasema hivyo kwani the problem sio kama ananuka like jasho or what...ni ile harufu ya mtu ambayo kila mtu ana yake. like ukipewa nguo ya mkeo gizani lazima utaijua hata kama haina perfume. nazungumzia ile natural harufu from god.
2. kama harufu ndo hizo, it means hata aoge, apige mswaki atumie body spray gani, his coligne will remain to be the same.
3. sijisifii ila i think i am a good leader when it comes to kissing. the problem with my guy ni kua its like anakaza sana lips zake plus ni ndogo basi inaharibu kila kitu. nikimwambia kua i enjoy zaidi anapolegeza lips, it will take few seconds and he becomes too concious hali ambayo inaharibu everything. i have tried sana na nimekua nikimpa motivations za kila aina anapofanya vizuri but still it doesnt work
sasa, ukijumlisha na ile harufu nisiyoipende..inanikata stim zote. nimejaribu pia kutumia pipi na chocolate during kissing, still it doesnt work.
TATIZO la umri sio kubwa but muonekano. anaonekana mdogo with a beautiful baby face. tatizo unajua sisi wanawake tunazeeka haraka so itakua shida hapo baadae kidogo atakaponiacha kutafuta dogodogo.
4. kama vingewezekana i will be very glad to have him forever and treasure his as my husband
KUHUSU HUYU WA PILI SASA
sikatai kwamba anaweza kua playboy, atanicheat kama alivyomcheat mwenzangu n.k
and from other comments yawezekana ni kweli hanipendi coz he does not give me the attention i need
ILA huyu mtu ni mzembe kimawasiliano kwa ujumla. sio ajabu kwake kusahau simu kwenye gari au home siku nzima. kwa hiyo sometimes anajitetea kua simu aliiacha and thats is very true kwani nilishawahi kumtumia msg hadi kesho yake nikaikuta simu kwenye gari na missed call zangu na msgs kila kitu naye comfortably yupo amelala.
kingine huyu kaka ni introvert(if you can understand) sio msemaji wa hisia na jinsi anavyojisikia.
ila kwakua we are both different. i guess hanifai
Conclusion
i better keep my self available. hakuna anaenifaa kati ya hao japo duniani hakuna perfect man na hata mimi sio perfect. nikiwa na wa kwanza nitamcheat bureeeeee. ndoa inahitaji commitment. wa pili nae atanifanya nijuteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kumfahamu
i am a single girl from now. thanx all kwa ushauri
aaaah kumbe na ww mwenyewe hovyoooooooooooo Masters yako inakusaidia kupata mshahara tu na-kuhudhuria visemina, sasa kama ulikuwa unajua ubakie single ya nn kuleta uzi humu JF!!kanunue vile vifaa vya kujiridhisha mwenyewe Kinondoni basi ndio iwe mumeo naona unatuzingua tu!!