Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
Wanawake wasomi mtaishia kutafuta wachumba kwenye mitandao,usizani wewe mzuri sana..uwenda ile picha ya photoshop uliyoweka facebook ilimvutia lakini alipokutana na wewe akakushangaa usivyo mzuri,lakini aliamua kupiga moyo konde na kuendelea na wewe..
Na zile fedha anakutumia ili upendeze..sasa wewe unashindwa kumboresha,yaani wewe ni mwanamke wa ajabu,wale wanawake wakupendezeshewa..watakumega sana hadi uzeeke mwishowe utabadilisha tangazo na kuliandika hivi "natafuta mume sichagui dini,elimu wala umri..nina mtoto mmoja... Niko serious wajameni!"
Na zile fedha anakutumia ili upendeze..sasa wewe unashindwa kumboresha,yaani wewe ni mwanamke wa ajabu,wale wanawake wakupendezeshewa..watakumega sana hadi uzeeke mwishowe utabadilisha tangazo na kuliandika hivi "natafuta mume sichagui dini,elimu wala umri..nina mtoto mmoja... Niko serious wajameni!"