Hivi platozoom ni he/she? Tuanzie hapo kwanza....
wajua wewe mkaguzi wao ani si unakaguaga wote ama?
Hivi platozoom ni he/she? Tuanzie hapo kwanza....
teh teh teh! kumbe na wewe unayo mweee!
mmh ulipotea hata ya kwangu na Bishanga imedumd kweli
Jamani Yummy mbona kimya mno la aziz! Funguka nafsi yangu ipate tulia!
Jamani nafsi yangu imemdondokea Yummy mke wa mtu! Karibu njoo kipande yangu achana na huyo babu Asprin!
na ma4some yetu je??Hahahahaaa KARIA weeee KWANZA, utaniweza mie kweli????? Hebu mchombeze Asprin akuelezee mambo yangu ndo utajua kama utanimudu.
PILI, unajisikiaje kutongoza mke wa mtu lakini???tena wa mzee mzima Asprin walau ungekuja chobingo unchombeze sasa wewe umeingia mzima mzima wangu!!usiniharibie ndoa yangu jamani ni tamu sanaaaaaaaaaaaa ntapata wapi wa kunidekeza mwingine YUMMY mie
kaaazi kwel kwel! mbombo ingafu! lolHi love The secretary,hebu cheki kwenye friza kama prawns na lobsters bado zipo. Na ile christal champain angalia zimebakia chupa ngapi. Ka vipi chukua vogue uje uni pick Serena ndo namalizia kikao.
Hivi Karia,wake za watu unawatakia nini?
Hivi hujui hata huyo Asprin wenu anazuga? Unaijua sehemu moja inaitwa Nanjinjiri huko Liwale? Ushawahi sikia mtu anageuzwa nyoka?
Jamani kweli nisaidieni kifaa kama hiki kikawe na babu!
Hahahahaaa KARIA weeee KWANZA, utaniweza mie kweli????? Hebu mchombeze Asprin akuelezee mambo yangu ndo utajua kama utanimudu.
PILI, unajisikiaje kutongoza mke wa mtu lakini???tena wa mzee mzima Asprin walau ungekuja chobingo unchombeze sasa wewe umeingia mzima mzima wangu!!usiniharibie ndoa yangu jamani ni tamu sanaaaaaaaaaaaa ntapata wapi wa kunidekeza mwingine YUMMY mie
Hahahahaaa KARIA weeee KWANZA, utaniweza mie kweli????? Hebu mchombeze Asprin akuelezee mambo yangu ndo utajua kama utanimudu.
PILI, unajisikiaje kutongoza mke wa mtu lakini???tena wa mzee mzima Asprin walau ungekuja chobingo unchombeze sasa wewe umeingia mzima mzima wangu!!usiniharibie ndoa yangu jamani ni tamu sanaaaaaaaaaaaa ntapata wapi wa kunidekeza mwingine YUMMY mie
KARIA mapenzi yetu na babu sisi tumeridhika nayo kabisaaaa, si umeona wake wenzangu BADILI TABIA na cacico walivyokuja juu......fosam itakua hainogi bila Yummy Yummy YummyyyyyyyyyyYummy kama babu angekuwa na mapenzi ya kweli na wewe asingemwongeza bibi Casico.
Jamani kipendacho roho dawa! Nifanyeje na ndio nishapenda! Babu Asprin kama kuniroga niroge. kama kunichinja nichinje, kama adhabu nipe, ila mimi nasema jamani lohh Yummy kaniteka mtima wangu!!!