BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
hivi unataka hizo sehemu zako za kukojolea zihamie kisogoni eeeh? shaurilo...
Babu sema nikurudishie mahari yako!
Babu sema nikurudishie mahari yako!
vijana wa siku hizi adabu zero kabisa mume wangu..... yaani kijana mdogo anathubutu kutaka kuharibu ndoa...
Hebu kamkague kama kishatahiriwa.
Kijana una hatari wewe... Naona unahitaji adhabu.BADILI TABIA Umeshapewa ruksa na babu ya kuja kunikagua kama nina MKONO WA SWETA! njoo haraka halafu umpe jibu babu!
Hahahaha na ile michezo yake bado hajaacha siyo?hata jando hajaenda huyu itakua kutahiriwa....
Jamani kipendacho roho dawa! Nifanyeje na ndio nishapenda! Babu Asprin kama kuniroga niroge. kama kunichinja nichinje, kama adhabu nipe, ila mimi nasema jamani lohh Yummy kaniteka mtima wangu!!!Kijana una hatari wewe... Naona unahitaji adhabu.
Hahahahahahahaaaaaa! Khaaaaaaaaaaaaa!!hivi asprin ana totoz ngapi humu na iweje hata totoz zenyewe hazigombani wao kwa wao au ana kimzizi nini anatembea nacho
Hahahaha na ile michezo yake bado hajaacha siyo?
Sasa sijui hapo anapata raha au utamu??
hahahahaaaaaaaaaaaaaa aache wapi...
yaani huyu dogo ni wa kumhurumia tu aisee...
chezeiya ukaguzi weye??hivi asprin ana totoz ngapi humu na iweje hata totoz zenyewe hazigombani wao kwa wao au ana kimzizi nini anatembea nacho
Ntake radhi, hawa si wajukuu. Nna wake watatu, cacico, Yummy na BADILI TABIA chini ya usimamizi wa Kongosho. Ngoja wakija hapa watakuthibitishia.
nipo mke mdogo, nimekuja kuthibitisha hapa! Cantalisia umesikia?? na huyo Yummy akichukuliwa sasa 4some itakuwaje jamani jamani?
hubby mbona unakuwa kama ndio unaamka, STUKA hubby STUKA!
Na si unajua tena nikikuumiza na mimi naumia pia? Hebu jiandae leo nikutoe. Unatumia Dodoma wine au Amarula?sasa hivi hana ujanja, akili zake nimezikomazaaaa ka nazi za msibani! hawezi nigeuka akaoa tena, akifanya hivyo ataniumiza sana na anajua hilo! lol