Yule shabiki wenu aliyemkumbatia Kaka - yataka moyo!.

Tanzania kila kitu uchunguzi ebo!!! Hao wanaomshikilia mpaka leo hawajui kuwa hivi vitu vya kawaida tuu heheh bahati nzuri hakuvua ngua na kukatiza uwanjani uchi, wamuachie tu wampe onyo labda na masaa 2-3 ya community service.
 
HII KALI!
ILA PAMOJA NA KUFANYA TUKIO LA KUHATARISHA AMANI KWA WACHEZAJI...BADO HUYU KIJANA HASTAHILI ADHABU KUBWA... wenye makosa ni walinda usalama....
Hivi kazi ya polisi uwanjani ni nini?
 
POLICE are holding Nageri Kombo (21), a student with Green Acres Secondary School who stormed into the soccer pitch and hugged Brazilian soccer maestro Ricardo Kaka, during a friendly game between Taifa Stars and Brazil at the National Stadium on Monday evening.

The Temeke Regional Police Commander (RPC), Mr David Miseme, said today that the suspect, a resident of Sekenke in Kinondoni District, was detained at Chang'ombe Police Station in Temeke District.

"He strayed into the football pitch after jumping over the fence and hugged a Brazil footballer named Kaka, much to the surprise of all players and spectators," said Mr Miseme.

Information had it that Kombo had vowed to his friends and relatives that he would hug Kaka once he saw him - a promise that he fulfilled after invading the pitch unnoticed by security policemen.

Further information had it that before dashing into the pitch, Kombo emptied his trouser pockets and handed valuables including a mobile phone and a wallet to a friend. He also handed over a pair of shoes as he was sure that he would be arrested for the foray.

Mr Miseme said the suspect was arrested shortly after accomplishing his mission and that police were going on with investigations. During the incident, Kaka remained calm as other players looked astonished.

Kaka's transfer fee of 60 million pound sterling from AC Milan to Real Madrid last year was the second highest after Christiano Ronaldo, who moved from Manchester United to Real Madrid at a cost of 80 million pounds. He was also the World Best Player for 2006/07.

MTAZAMO:

KIJANA HUYU AMEONYESHA UJASIRI WA HALI YA JUU NA KUTUDHIHIRISHIA WATANZANIA MBELE YA UONGOZI MZIMA WA NCHI KUWA TZ SUALA LA USALAMA SI KITU CHA KUKITUMAINI. AMEWEZA KUWEKA KUMBUKUMBU ZAKE SAWA ILI HALI AKIONYESHA WAZI KUWA WANA USALAMA WANAPASWA NAO WAANZE KULIPA VIINGILIO KWA KUWA HAWANA KAZI YEYOTE WAKIWA UWANJANI ZAIDI YA KUDEKU MECHI FULL TIME KAMA SIE WANANCHI. TAIFA LIMEPOTEZA MAPATO KUJAZA WANAUSALAMA WASIO NA KAZI PALE NDANI.

KIJANA AKIFIKISHWA MAHAKAMANI, POLISI NAO HASA WALE WALIOPEWA DHAMANA YA ULINZI SIKU ILE NAO WAPEWE ANGALAU "ZAWADI"
INAYOSTAILI KIPIMO CHA UZEMBE WAO.


ZIDUMU FIKRA SAHIHI ZA JK KUTULETEA "WANASAMBA" KWA GHARAMA YEYOTE ILE HATA TUKILA MAJANI LAZIMA "KAKA" ATUE TZ KAMA ILIVYOKUWA KWA NDEGE YA RAIS NA RADA !!!






YouTube - Brazil National Team



Kijana ameachiwa na kesha kuwa celb, kuhojiwa clouds fm muda si mrefu ujao ndani ya powerbreakfast
 
Last edited by a moderator:
...Niliwasifu jinsi walivyompokea bwana mdogo baada ya kukatisha kiwanja... bila kumpiga Virungu!!
 
wamsamehe tu maana ndio hivyo tena ,utoto na mambo ya emotions, ingawa alifanya makosa.
 
Green Acres, miaka 21? Kibabu hicho!

Kwa mpangilio wa elimu ya Tz mbona yupo sahihi? Ameanza darasa la kwanza 7 years + 7 = 14..+ 4 = 18+ 2...20 Tukumbuke kuna wale ambao wanashndwa kwa sababu mbali mbali kuanza wakiwa na hiyo miaka 7 na pengine kusubiri miaka kadhaa baada ya kumaliza darasa la saba kuendelea na elimu ya sekondari. Hii ndio Tanzania jamani mbona tunakuwa wageni na system zetu?

Issue ni system hizi za kuanza shule kwa umri wa miaka saba na hili la kusoma kwa miaka 15 kati ya shule za awali mpaka sekondari linahitajika?

<input id="gwProxy" type="hidden"><!--Session data--><input onclick="jsCall();" id="jsProxy" type="hidden">
 
Kijana alisukumwa na dhana ya" it happens once in a life time". Wamwachie tu maana ametusaidia kutuonyesha jinsi polisi wetu walivyo wazembe wanapokuwa kazini.
 
Hivi wazee mnafahamu unazi na munkari wa soka?????
Huyu kijana kufanya hivyo ki-usalama haikuwa sahihi lakini munkari wa soka ukipanda [wapenzi wa soka wanaelewa]kuna mambo unaweza kuyafanya ambapo ukiulizwa baada ya munkari kushuka usiwe na maelezo.
 
Jana nimesikia kwenye taarifa dogo ameachiwa na polisi, issue yake wameipeleka kwenye vyombo vinavyohusiana na maswala ya mpira; updates please.
 
... kijana huyo licha ya kufanya kosa lkn ni wazi ni jambo amablo kama mtanzania anaependa michezo sio geni kutokea..
Hata mtu akibaka leo, aachiwe kwa kuwa jambo hilo sio geni kutokea !!? Sababu za kuachiwa zinaweza kuwa nyingine, lakini si hiyo ya kusema kosa fulani ni kawaida kutokea.
 
Teh, teh, teeeh!!!!
Nayo ilikuwa sehemu ya mechi (burudani). Mimi binafsi na wengine wengi tu tuliburudishwa na kitendo kile ''pindi ile kilipotokea'', maana hakuna mtu aliye tegemea kumuona yule bwana mdogo akiingia uwanjani na kumkumbatia kaka.

Ila cha msingi tu ni kwa vyombo vinavyohusika kuzuia kitendo kama hicho kisitokee tena.
 
Polisi jamii ni neno zuri ila utekelezaji wake hauna maana.Mtu anaingiliwa kwake na majambazi wanamjeruhi na kuiba kila kitu lakini bado unaongelea polisi jamii.Shame on you!
 
Hili suala linatakiwa limalizwe haraka saana tena kiutawala kuliko kisheria, anaweza kupewa onyo la kipolisi, tu, lakini wakushughulikiwa na walinzi wa usala kwa uzembe na pili kuchukua sheria mkononi.
Mwema onyesha kwa mba upo fasta fasta kwenye utendaji, urasimu wa nini.
 
Kijana ameachiwa na kesha kuwa celb, kuhojiwa clouds fm muda si mrefu ujao ndani ya powerbreakfast

najaribu kuimagine kama mashabiki kama kumi wangekuwa na wazo na furaha kama ya dogo kwa wakati mmoja!sijui wenyewe ndo wangeoneana aibu au sisi watazamaji?kudiscourage watu wapendao umaarufu wa design hii vyombo vya habari vya uingereza vimeamua kutorusha matukio kama hayo na pindi yatokeapo huonyeshwa wachezaji tu na mtangazaji ndo atazungumzia.....
 
Yule jamaa kwanza anaakili mno hadi kufanikiwa kufanya jambo kama lile!! atafutiwe kazi hata ya usalama maana anaweza kilisaidia sana taifa kwenye kazi za kishushushu....duh kweli saoka lina uchizi wake! afagie ofisi za TFF siku mbili tu then aachiwe ndiyo soka hilo..
 
Back
Top Bottom