Olomi Maimu
Member
- Apr 2, 2012
- 8
- 1
Nilitegemea kuwa ktk kipindi hiki joto lipo juu huyu jamaa angejiunga kuchangia hoja, kwani sasa ana watu wengi walioelewa hili somo la ''UKOMBOZI'' kuliko ilivyokuwa huko nyuma? Au ndo tuseme huu music wa hakunaga hajui kuucheza?