Johnkitime Blog
Member
- Mar 4, 2015
- 13
- 12
MKE: Ulilala wapi? Unanidharau sana unanirudia mie alfajiri, leo lazima unambie huko ulikolala
MUME: Mke wangu mpenzi jana nilichanganyikiwa, si unamfahaamu rafiki yangu Joshua, basi jana dada'ke kaanguka kafariki ghafla basi nimelazimika kulala huko kumliwaza.
MKE: Ok basi ngoja na mie nioge niende nikawape pole maskini dada wa watu... (akaenda kuoga)
MUME: Yaani maajabu makubwa yametokea, muujiza laiv
MKE: Kivipi?
MUME: Ulipoenda kuoga, Joshua kanipigia simu eti kuna mchungaji kaja kumuombea yule dada'ke aliyekufa, sasa kafufuka, hivyo wameondoka kuelekea kijijini kwao kuwaona wazazi wao, yaani muujiza!
MUME: Mke wangu mpenzi jana nilichanganyikiwa, si unamfahaamu rafiki yangu Joshua, basi jana dada'ke kaanguka kafariki ghafla basi nimelazimika kulala huko kumliwaza.
MKE: Ok basi ngoja na mie nioge niende nikawape pole maskini dada wa watu... (akaenda kuoga)
MUME: Yaani maajabu makubwa yametokea, muujiza laiv
MKE: Kivipi?
MUME: Ulipoenda kuoga, Joshua kanipigia simu eti kuna mchungaji kaja kumuombea yule dada'ke aliyekufa, sasa kafufuka, hivyo wameondoka kuelekea kijijini kwao kuwaona wazazi wao, yaani muujiza!