Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,041
- 12,521
King Kong III nadhani hapo kwenye Bold panamhusu LissuSasa mbona asikiki tangia akamatwe? Unakumbuka kauli aliyoitoa mkwe.ere jana wakati akizungumzia udictator?
Alisema kama yeye angekuwa dikteta hata huyo aliosema hivyo angeogopa,na kama angekua dikteta yule aliyesema hivyo angekua ashapotea na usingemuona tena,sasa swali jamaa(zeutamu) alimdhalilisha sana kwa kutoa pic analiwa tiGO na yeye alienda hadi interpol kumtafuta na wakampata sasa mbona asikiki tena ndo wadau wanauliza au walishamdeadisha?