Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
....Hivi mbona jana JK hakuhojiwa na Rose MWAKITWANGE kama ilivyokuwa imepangwa ....maana yule dada ASHA MTWANGI aliyemuhoji ni moja ya waajiriwa wa IKULU chini ya kurugenzi ya habari ........inayoongozwa na SALVA RWEYEMAMU...na kuna wengine pale wakiwamo waandishi wasaidizi waandamizi ie Primi Kabanga...na wengine waandishi ambapo mmoja wao ni Huyu ASHA MTWANGI....
SO tuseme mahojiano ya jana yaliandaliwa na kuendeshwa na kurugenzi ya mawasiliano ya Rais.....
SO tuseme mahojiano ya jana yaliandaliwa na kuendeshwa na kurugenzi ya mawasiliano ya Rais.....