Rugas
JF-Expert Member
- Jan 8, 2009
- 1,048
- 196
nafikiri sana anajuta sna. Walimdanganya sana CHADEMA. na kwa jinsi ninavyoijua Bukoba mjini sijui kama atashika nafasi ya nne katika UBUNGE.
naomba hii muiNOTE kisha mniulize baada ya uchaguzi.
Watu hawana inami naye ni ndumilakuwili tu.
Uko sawa kabisa mkuu,jamaa alidhani akihama cuf atahama na wanachama wake.hali imekuwa tofauti.juzi nilikuwa bk wakati wa uchaguzi wa selikari za mitaa.niligundua cuf bado wako juu bk mjini na km mwakani watapata mgombea makini,rwakatre atakuwa amefulia mazima.