Mkurabitambo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2010
- 230
- 57
Tanzania tumeshuhudia filamu mbalimbali toka 2005 mpaka leo.moja ya filamu hizo i ile ya RICHMOND,ninavyo kumbuka ilikuwa na mastaa wa tatu,zee la mvi, Nazir Karamagi na Msabaha(aliejiita mbuzi wa kafara). wapili wa kwanza wote wanajulikana wako wapi na wanafanya nini,ila kwa huyo staa wa tatu Msabaha hasikiki kabisa.. vpi yu mzima? anafanya nini? amesha lipa deni letu?