dogojanja 87
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 882
- 213
Huyu mzee ni muadilifu na mtenda haki sana,kwasasa anatenda haki ndani ya sekretarieti ya Ajira,ni mmojawapo wa wajumbe wa bodi ya sekretarieti,watu mnaoomba kazi na kupangiwa kazi serikalini mnapitia kwenye mikono yake.kwa mujibu wa mdau wangu pale huyu Mzee yupo serious sana na kazi na hapendi mtu aonewe wala apendelewe.