yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,527
- 1,405
Alikuwa mkuu wa mkoa wa Mtwara miaka ya nyuma,alafu inasemekana aliwah kuwa mwanajeshi mwenye cheo cha juu na alikuwa na elements za u-dictator
UPDATE: 13/02/2020
Soma: TANZIA: Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, Nsa Kaisi amefariki dunia leo Alhamisi Februari 13, 2020 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili
UPDATE: 13/02/2020
Soma: TANZIA: Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, Nsa Kaisi amefariki dunia leo Alhamisi Februari 13, 2020 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili