Jamani sijamsikia mzee Ndesamburo siku nyingi, kwenye bunge lililopita sikumuona, je alihudhuria?. Huyu mzee alinifurahisa sana wakati wa kashfa ya lowasa pale alipokua akichangia mada akasema bila kutafuna maneno kuwa ingekua ni kule China Lowasa angetakiwa anyongwe. Mwenye taarifa zake jamani tujulishane. peoples power!!!!!!!!!!!!