Hii si kawaida, karibia siku 8 zimepita huyu mkuu hajatia mguu hapa ukumbini! Stats zinaonyesha post yake ya mwisho ilikuwa tarehe 24 August.
Members wengine wakikosekana barazani lazima tujiulize, kulikoni? Wiki tumeshudia wapiganaji wetu wamejeruhiwa huku demokrasia ikisiginwa kule 'CHAMA MBADALA' na mafisadi wakifanya tafrija kucherehekea magoli.
Vipi ka-inzi kamekatwa mbawa tulete 'super-glue'?
Nawasilisha!
Members wengine wakikosekana barazani lazima tujiulize, kulikoni? Wiki tumeshudia wapiganaji wetu wamejeruhiwa huku demokrasia ikisiginwa kule 'CHAMA MBADALA' na mafisadi wakifanya tafrija kucherehekea magoli.
Vipi ka-inzi kamekatwa mbawa tulete 'super-glue'?
Nawasilisha!