Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
Bunge ndio linaisha jumatatu kwa staili ambayo bado hatujaweza kuitabiri vyema. Sijabahatika kumsikia Lusinde popote. Aliwatukana cdm kuwa wamechanjwa chale makalioni. Alisema baadhi yao wamefanywa vibaya. Alisema wamejinyea.
Alisema mengi maovu. Ni wapi Lusinde alisimama na kutoa hoja ndani ya Bunge la sasa? Ni kweli hayo matusi walistahili cdm? Nafikia hatua ya pili ya kuamini kuwa watu wa aina ya Lusinde huwa wanatumiwa kama leso tu na mwisho wa siku kutupwa! Lusinde ni leso, no more no less!
Alisema mengi maovu. Ni wapi Lusinde alisimama na kutoa hoja ndani ya Bunge la sasa? Ni kweli hayo matusi walistahili cdm? Nafikia hatua ya pili ya kuamini kuwa watu wa aina ya Lusinde huwa wanatumiwa kama leso tu na mwisho wa siku kutupwa! Lusinde ni leso, no more no less!