JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,017
Kibunango,
Asante kwa maelezo yako mazuri.
Ina maana Brig.Gen.Faki alikuwepo mitaani tu baada ya Jumbe kujiuzulu, au aliwekwa kizuizini?
Mahusiano yake na serikali za Mwinyi,Sheikh.Idiris,na Dr.Salmini yalikuwaje?
NB:
Kuna waziri mmoja akiitwa Dr.Taimour ali-serve wakati Mwinyi ni Raisi wa Zanzibar. Imepotelea wapi huyu bwana? je kuna makosa aliyafanya manaake amepotea ghafla mno.
Asante kwa maelezo yako mazuri.
Ina maana Brig.Gen.Faki alikuwepo mitaani tu baada ya Jumbe kujiuzulu, au aliwekwa kizuizini?
Mahusiano yake na serikali za Mwinyi,Sheikh.Idiris,na Dr.Salmini yalikuwaje?
NB:
Kuna waziri mmoja akiitwa Dr.Taimour ali-serve wakati Mwinyi ni Raisi wa Zanzibar. Imepotelea wapi huyu bwana? je kuna makosa aliyafanya manaake amepotea ghafla mno.