Mara ya mwisho nilikutana naye Rose Garden Bar, Dodoma. Akaniomba Savanna 3 nami nikampatia bila ubishi. Wakati najiandaa kuondoka akaniambia eti hana muda wa kuwa na mtu kama mimi. Basi ikabidi niwe mpole tu na kuwasha ka-Nissan March kangu, nikaelekea Club 84 kuendeleza bata. Si unajua tena sisi ndiyo wazee wa mjini.
Mara ya mwisho nilikutana naye Rose Garden Bar, Dodoma. Akaniomba Savanna 3 nami nikampatia bila ubishi. Wakati najiandaa kuondoka akaniambia eti hana muda wa kuwa na mtu kama mimi. Basi ikabidi niwe mpole tu na kuwasha ka-Nissan March kangu, nikaelekea Club 84 kuendeleza bata. Si unajua tena sisi ndiyo wazee wa mjini.
Aliolewa mkurugenzi mmoja anaitwa Dominic!
Mara ya mwisho nilikutana naye Rose Garden Bar, Dodoma. Akaniomba Savanna 3 nami nikampatia bila ubishi. Wakati najiandaa kuondoka akaniambia eti hana muda wa kuwa na mtu kama mimi. Basi ikabidi niwe mpole tu na kuwasha ka-Nissan March kangu, nikaelekea Club 84 kuendeleza bata. Si unajua tena sisi ndiyo wazee wa mjini.
Acha fix
Ni kweli aliolewa harusi ya kanisani, matarumbeta barabarani na sherehe ukumbini na honey moon walikwenda, hutaki nini sasa, mumewe alikuwa kigogo huko bandarini kwenye makontena, sijui kama bado yuko huko au vipi.