ahhh ashajtoa kafara uyu shulew wap tena?hamna shule apo sana sana ataishia uko mnaz mmoja .com.college
kana kipaj sana sema ujinga na ulimbukeni ulimzd mpk kudis shule
na kanaonekan kana akili km kangekomaa
au sjui alikosa washsuri japo mamake mzazi angemshauri cha kufanya bt si kuacha shule sababu ya kushika mike dah apo tu ndo nkamowna hazimo
angepiga shule then shule ya mzik apo mbele kdg +kipaj alichokuwa +uhandsam aliopewa na mungu mbojna angekula maisha mwaqya bt dooooooo ndo ivo ..........starehe mbele tabu na shda ndogo ndogo ye aztak........!!!!!!!!!
mungu amsaidie arudishe sense arud shule cz he stl a kid so he can mak t if he want.thou ni nghumu kwa maisha alivyoyachukulia na jamii inayomzunguka...........BTY ANA KIPAJ CHA UKWELI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.