LEYANA LESINDAMU
Member
- Mar 22, 2012
- 33
- 11
Jamani wana JF huyu kijana Deus anajishughulisha na nini baada ya kushinda rufaa yake?
Jamani wana JF huyu kijana Deus anajishughulisha na nini baada ya kushinda rufaa yake?
Ukshajua itakusaidia nini?
Mhhhhh .... Yule kijana wa kwenye ajali ya Chacha wangwe nimekumbuka..... Kama vile nilimuona kwenye masaburi yako juzi.Jamani wana JF huyu kijana Deus anajishughulisha na nini baada ya kushinda rufaa yake?
PoleMimi pia alinitapeli kiasi fulani mwaka 2011. Akawa anapotezea simu zangu eti yuko nje ya nchi kumbe uwongo. Alikuwa anadai anakiwanda na ni mwenyekiti wa taasisi fulani hapa mjini. Huyu jamaa siji kumsahau aisee
Asante chiefPole
carnte himself
Pole mkuu,huyu dogo ni ndugu yake na Membe,amesoma Libya kama miaka minne,anaongea kiarabu vibaya sana,nilimjua mwaka 2008 tuliishi jirani maeneo ya Mwenge TRA,alikuwa akinifundisha kiarabu.,siku moja tulichelewa street mpaka saa 7 usiku, nilikuwa nakunywa yeye anywi tukipiga story,tukapitiwa na defender la polisi,tukapelekwa kituoni-mabatini,ndo nilijua jamaa sio wa kawaida,2 of alichenjia askari watatu kwa kungfu pale kituoni,mpaka akapigiwa simu mkuu wa kituo saa nane akaja,akamhoji zaidi ya nusu saa,dogo akampiga mkwara mkuu wa kituo kuwa akiamua wote kituoni hawamuwezi kwa mikono au silaha,mwishoni akampa namba mkuu wa kituo aipige apewe maelekezo,mpaka leo sijui ilikuwa namba ya nani,tukaachiwa palepale,baada ya muda tukapoteana,ghafla nakuja kumuona kwenye gazeti kadondoka na Chacha wangwe,Chacha ni.marehemu,gari nyang'anyang'a,yeye mzima hana hata kovu,ana bandeji ya kuzuga mkononi,niliogopa sana,huyu dogo sio.mtu mzuri yupo trained deeply,mpaka leo naamini ana backup ya serikali.Sielewi kwanini alitapeli baadhi ya watu,ila sio mtu mzuri.Story ni ndefu nimeifupisha,pole mkuu.Mimi pia alinitapeli kiasi fulani mwaka 2011. Akawa anapotezea simu zangu eti yuko nje ya nchi kumbe uwongo. Alikuwa anadai anakiwanda na ni mwenyekiti wa taasisi fulani hapa mjini. Huyu jamaa siji kumsahau aisee
Siku hizi yuko wapi?,maana sijamsikia kitamboPole mkuu,huyu dogo ni ndugu yake na Membe,amesoma Libya kama miaka minne,anaongea kiarabu vibaya sana,nilimjua mwaka 2008 tuliishi jirani maeneo ya Mwenge TRA,alikuwa akinifundisha kiarabu.,siku moja tulichelewa street mpaka saa 7 usiku, nilikuwa nakunywa yeye anywi tukipiga story,tukapitiwa na defender la polisi,tukapelekwa kituoni-mabatini,ndo nilijua jamaa sio wa kawaida,2 of alichenjia askari watatu kwa kungfu pale kituoni,mpaka akapigiwa simu mkuu wa kituo saa nane akaja,akamhoji zaidi ya nusu saa,dogo akampiga mkwara mkuu wa kituo kuwa akiamua wote kituoni hawamuwezi kwa mikono au silaha,mwishoni akampa namba mkuu wa kituo aipige apewe maelekezo,mpaka leo sijui ilikuwa namba ya nani,tukaachiwa palepale,baada ya muda tukapoteana,ghafla nakuja kumuona kwenye gazeti kadondoka na Chacha wangwe,Chacha ni.marehemu,gari nyang'anyang'a,yeye mzima hana hata kovu,ana bandeji ya kuzuga mkononi,niliogopa sana,huyu dogo sio.mtu mzuri yupo trained deeply,mpaka leo naamini ana backup ya serikali.Sielewi kwanini alitapeli baadhi ya watu,ila sio mtu mzuri.Story ni ndefu nimeifupisha,pole mkuu.
Masahihisho - hakushinda rufaa bali alipewa msamaha na Rais baada ya " kukamilisha kazi " fuatilia vizuri .Jamani wana JF huyu kijana Deus anajishughulisha na nini baada ya kushinda rufaa yake?
Ha! Ha! Haaaa!Pole mkuu,huyu dogo ni ndugu yake na Membe,amesoma Libya kama miaka minne,anaongea kiarabu vibaya sana,nilimjua mwaka 2008 tuliishi jirani maeneo ya Mwenge TRA,alikuwa akinifundisha kiarabu.,siku moja tulichelewa street mpaka saa 7 usiku, nilikuwa nakunywa yeye anywi tukipiga story,tukapitiwa na defender la polisi,tukapelekwa kituoni-mabatini,ndo nilijua jamaa sio wa kawaida,2 of alichenjia askari watatu kwa kungfu pale kituoni,mpaka akapigiwa simu mkuu wa kituo saa nane akaja,akamhoji zaidi ya nusu saa,dogo akampiga mkwara mkuu wa kituo kuwa akiamua wote kituoni hawamuwezi kwa mikono au silaha,mwishoni akampa namba mkuu wa kituo aipige apewe maelekezo,mpaka leo sijui ilikuwa namba ya nani,tukaachiwa palepale,baada ya muda tukapoteana,ghafla nakuja kumuona kwenye gazeti kadondoka na Chacha wangwe,Chacha ni.marehemu,gari nyang'anyang'a,yeye mzima hana hata kovu,ana bandeji ya kuzuga mkononi,niliogopa sana,huyu dogo sio.mtu mzuri yupo trained deeply,mpaka leo naamini ana backup ya serikali.Sielewi kwanini alitapeli baadhi ya watu,ila sio mtu mzuri.Story ni ndefu nimeifupisha,pole mkuu.
Watu mnajua mambo!A well trained assasin na anayo back up ya 'NCHI'. Membe ndiye master-mind aliyekabidhiwa kuhakikisha nothing goes wrong,na LIBYA alienda na kuishi kwa kodi zetu kupitia akaunti ya Razaki Magehelo (kwa sasa ni mshauri wa masuala ya ulinzi katika taasisi binafsi but ni mtu wa kitengo).