Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Siku moja YESU alipokuwa akijiaandaa kupanda mlimani kwenda kusali,aliwaambia mitume wake wabebe jiwe moja moja.Mitume wote walibeba mawe yenye ukubwa wa wastani isipokuwa Yuda Iskariote,yeye kwa ujanja na uvivu wake alibeba kajiwe kadogo kama kidonge cha Asprin.Walipofika mlimani baada ya sala,YESU aliyaombea yale mawe akayageuza kuwa mikate na kila mtume alikula mkate wenye ukubwa sawa sawa na ukubwa wa jiwe alilobeba.