makandokando
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 299
- 20
MODS hamishia hii kitu hapa: https://www.jamiiforums.com/tanzania-2010-2015/88176-hivi-yu-wapi-huyu-bwana-masumbuko-lamwai.html
kuna thread nyingi sana humu ndani zinamuhusu lamwai wewe tafuta tu.daaah ni zamani sana sijamsikia huyu wakili maarufu kabisa,bwa. Masumbuko lamwai,amepotelea wapi bana,manake alikua ni wakili mkali kwelikweli,alieweza kutumia weledi wake wa hali ya juu kabisa,kuwaumbua vigogo wakubwa wakubwa,akina kihiyo etc.yupo hai lakini au mi ndo sina habari ya amepotelea wapi????:gossip::gossip:
kuna thread nyingi sana humu ndani zinamuhusu lamwai wewe tafuta tu.
Daaah ni zamani sana sijamsikia huyu wakili MAARUFU kabisa,Bwa. MASUMBUKO LAMWAI,amepotelea wapi bana,manake alikua ni wakili mkali kwelikweli,alieweza kutumia weledi wake wa hali ya juu kabisa,kuwaumbua vigogo wakubwa wakubwa,akina KIHIYO etc.Yupo hai lakini au mi ndo sina habari ya amepotelea wapi????:gossip::gossip:
Anafundisha tumaini university campus ya kurasini
Daaah ni zamani sana sijamsikia huyu wakili MAARUFU kabisa,Bwa. MASUMBUKO LAMWAI,amepotelea wapi bana,manake alikua ni wakili mkali kwelikweli,alieweza kutumia weledi wake wa hali ya juu kabisa,kuwaumbua vigogo wakubwa wakubwa,akina KIHIYO etc.Yupo hai lakini au mi ndo sina habari ya amepotelea wapi????:gossip::gossip:
Kweli yupo tumain university campas ya Dar pale kurasini.Anafundisha tumaini university campus ya kurasini