Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,265
- 105,436
Good news kama bado adunda. Opposition ndani kwa ndani, au siyo?
Keshachukuliwa na CCM unaambiwa, ndiyo maana humsikii.
Good news kama bado adunda. Opposition ndani kwa ndani, au siyo?
Dr. Masumbuko Lamwai kwa sasa ni Mkuu wa Kitengo cha Sheria (Faculty of Law) cha Chuo Kikuu cha Tumaini tawi la dar es Salaam. Pia bado anaendelea na kazi yake ya Uwakili na nafikiri bado ndiye wakili mkuu wa CCM. Kwa sasa ameamua kujikita zaidi katika taaluma lakini nafikiri alimsaidia kwa hali na mali mdogo wake Joseph ili aweze kushinda ubunge wa Rombo.
hili swala la kunyanganywa vyeti nalo ni kukurupuka lamwai alifungiwa kupractice kutokana na uzembe katika kuwakilisha wateja wake ikumbukwe lamwai ni wakili na kuna sheria zinazosimamia taaluma ya uwakili na katika hizo ndugu lamwai alihukumiwa nazo!
Lenana uko sahihi. Tanzania Law Society (TLS) walimsimamisha ku practice kutokana na tabia yake sugu ya kupokea pesa za wateja na kutokwenda au kutuma wakili mbadala mahakamani KUWAWAKILISHA. Mhanga mmoja (just a lay man) alimshitaki TLS, na akamuadhiri.
Nashangaa ninaposikia yupo Tumaini University (Dar campus).... Alitimuliwa UDSM kwa academic negligence; toka aajiriwe hakuwahi kupanda cheo; alikuwa ni Asst Lecture toka aajiriwe UDSM mpaka anatoka (for more than 20 years). Hajawahi kuandika paper au kufanya research toka awe Phd holder. What a Doctor....
hili swala la kunyanganywa vyeti nalo ni kukurupuka lamwai alifungiwa kupractice kutokana na uzembe katika kuwakilisha wateja wake ikumbukwe lamwai ni wakili na kuna sheria zinazosimamia taaluma ya uwakili na katika hizo ndugu lamwai alihukumiwa nazo!
Hivi huyu traitor yuko wapi? (Masumbukuo wa Lamwaii) bado anajishugilisha na siasa?
Yuko nyumbani kwake anaumwa UKIMWIHivi huyu traitor yuko wapi? (Masumbukuo wa Lamwaii) bado anajishugilisha na siasa?