Hivi huyu Mzee aliishia wapi. Nakumbuka aligombea ubunge na Tycoon Philemon Ndesamburo mwaka 1995 na kushindwa vibaya. Baada ya hapo akaenda kuwa mkuu wa itifaki ofisi ya Rais Ikulu. Mara ya mwisho nilisikia alifukuzwa kazi na Rais (Mkapa) baada ya kumzuia balozi wa Marekani asiende kuaga mwili wa Nyerere (kwenye mazishi) or something like that. Mwenye data please tujuze dondoo za huyu mzee na aliishia wapi.