Mwanahabari Kabendera Shinani aliyejiua kwa kujitosa ziwa Victoria, Bukoba

Coza Mhando

Senior Member
Dec 14, 2010
194
7
Salam wanaJF.
Naomba kujuzwa na mwenye taarifa za mwanahabari huyu na anashughulika na nini sasa,
nawaclisha waheshimiwa.

Wazee wa Bukoba wanaifahamu hii story ya huyu mwandishi wa habari kutoka Rwanda.

Mwaka 1996 baada ya kesi ya mauaji ya Kimbari kupamba moto,inasemekana huyu mdau alikimbilia Tanzania kuendelea na shughuli zake kama kawaida.

Kesi ilivyopamba moto Kabendera shinani siku moja alichukua usafiri wake mpaka maeneo ya custom Bukoba akapaki mahali hapohapo maeneo ya bandari halafu yeye akajitupa kwenye kina kirefu cha maji na umauti ukampata .

Shinani.jpg
 
Pole na safari, maana inaelekea ulikuwa mwezini ambako mawasiliano na dunia hii hayapo. Huyu jamaa alijiua miaka mingi sana kwa kujitosa ziwa victoria na habari zake zilitangazwa sana na BBC na vyombo vingine vya habari.
 
Kabendera alifariki mwaka 1995. Katika uchaguzi wa Oktoba alikuwa amejiandikisha kama raia na alikuwa na kadi ya CCM na kuweza kupiga kura. Hizo habari zilipofumka akajitosa ziwani Victoria. Mkewe nadhani bado yuko Bukoba.
 
Kabendera alifariki mwaka 1995. Katika uchaguzi wa Oktoba alikuwa amejiandikisha kama raia na alikuwa na kadi ya CCM na kuweza kupiga kura. Hizo habari zilipofumka akajitosa ziwani Victoria. Mkewe nadhani bado yuko Bukoba.
Ninachojua kabendera alikuwa Mtanzania akahamia Rwanda na kuachana na Uraia wa Tz,lakini akarudi kama mkimbizi. kilichomua ni CCM maana yeye ndiye alipeleka habari BBC kuwa Bukoba mjini CUF imeshinda. CCM wakamzushia jambo na wakaaidi kumunganisha na mauaji ya Rwanda na kumfungulia kesi ya kuvuruga uchaguzi wa Tanzania, alipoona hivyo akajiua
 
Wazee wa Bukoba wanaifahamu hii story ya huyu mwandishi wa habari kutoka Rwanda.

Mwaka 1996 baada ya kesi ya mauaji ya Kimbari kupamba moto,inasemekana huyu mdau alikimbilia Tanzania kuendelea na shughuli zake kama kawaida.

Kesi ilivyopamba moto Kabendera shinani siku moja alichukua usafiri wake mpaka maeneo ya custom Bukoba akapaki mahali hapohapo maeneo ya bandari halafu yeye akajitupa kwenye kina kirefu cha maji na umauti ukampata .

Shinani.jpg
 
Kwa hiyo na huyu anaweza kujiua kama hii kesi yake ikimuendea vibaya?

Au unatukumbusha kuwa akina Kabendera kwao Rwanda na ni wachochezi!
 
Wazee wa Bukoba wanaifahamu hii story ya huyu mwandishi wa habari kutoka Rwanda.

Mwaka 1996 baada ya kesi ya mauaji ya Kimberly kupamba moto,inasemekana huyu mdau alikimbilia Tanzania kuendelea na shughuli zake kama kawaida.

Kesi ilivyopamba moto Kabendera shinani siku moja alichukua usafiri wake mpaka maeneo ya custom bukoba akapaki mahali hapohapo maeneo ya bandari halafu yeye akajitupa kwenye kina kirefu cha maji na umauti ukampata .
Hujuhi kilichopelekea kifo chake, acha kuandika pumba,
kuwa na asili ya nchi fulani haimanishi wewe ni raia wa nchi hiyo, maasai wapo Kenya na TZ, Je sokoine na Lowasa walikuwa wakenya? Pambaf

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom