Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
She is one of the most beautiful model Tanzania ever produced where is she nowadays?
Mkuu Irene alifanya vizuri kwenye shindano kubwa sana.namfahamu kipindi anasoma pale Makongo,kaulize hata walimu wa pale wakwambie! Yule binti ana nidhamu ya pekee hasa kwa mazoea yetu hapa Bongo mtu akipata tu umaarufu.mikataba aliyoingia na fedha aliyovuta Face of Afrika ingempa kichaa maana ametokea familia ya kawaida sana! Tunampongeza kama mfano wa kuigwa,magazeti ya udaku yalimshindwa kumchafua sababu pia sio mtu wa starehe usiku kivile.kama tulivyo wote tunamapungufu hata yeye anayo yake lakini lazima tutafute watu maarufu ambao watoto wetu watajifunza kwao maana celebraties wana influence kubwa sana kwa vijana na hawa wengi waliopo aibu tupu! Hongera sana Irene Ngowi kwa staha na nidhamu kama mfano wa kuigwa!Mkuu huwa nakuheshimu........
Kuna mtu alisema juzi kuwa alipotoka Makongo secondary basi aka.... na mume wa mtu, ngoja aje tumsikie (kama hajakimbilia Mgombani kwa Xmas)
Mkuu Irene alifanya vizuri kwenye shindano kubwa sana.namfahamu kipindi anasoma pale Makongo,kaulize hata walimu wa pale wakwambie! Yule binti ana nidhamu ya pekee hasa kwa mazoea yetu hapa Bongo mtu akipata tu umaarufu.mikataba aliyoingia na fedha aliyovuta Face of Afrika ingempa kichaa maana ametokea familia ya kawaida sana! Tunampongeza kama mfano wa kuigwa,magazeti ya udaku yalimshindwa kumchafua sababu pia sio mtu wa starehe usiku kivile.kama tulivyo wote tunamapungufu hata yeye anayo yake lakini lazima tutafute watu maarufu ambao watoto wetu watajifunza kwao maana celebraties wana influence kubwa sana kwa vijana na hawa wengi waliopo aibu tupu! Hongera sana Irene Ngowi kwa staha na nidhamu kama mfano wa kuigwa!
Jamani hizi lugha za watu kama hatuwezi ni bora tuachane nazo! Tutapata aibu zisizo na msingi tu.Sio huyu uliyempamba kwenye one of the threads na kuna mwana JF mmoja akakujibu na kusema amezaa na mume wa mtu?
Do you have her latest information? Mind you, one year makes a big differnt for a human being?
I am not suggesting anything, but looking for facts (as long as there is a threat on her)