Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
- Thread starter
- #21
taraatibu mkuu.....!
ataenda kulia lia kwa invizibo:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:
Nyani Ngabu nae yuko wapi?
taraatibu mkuu.....!
ataenda kulia lia kwa invizibo:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:
geoff is no more...
Dead
r.i.p geoff
we miss you geoff
pumzika mzee wa kudumisha mila
Ila kweli tumemmisi mzee wa sauti ya umeme na habari zake za ki-field marshal. Uko wapi mpiganaji? Jitokeze bana! Tunakukosa katika kipindi hiki ambapo tunahitaji sana mchango wako.
ha ha ha aha!Nyani Ngabu nae yuko wapi?
Nyani Ngabu nae yuko wapi?
ha ha ha aha!
Naomba nisepe kwenye hii sredi maanake you are opening a can of worms
adios...!
Wengine tukipigwa ban ndo imetoka maanake hatuna aidii mbili
see you guys...
Nitakuwepo kwenye jukwaa la mambo ya kikubwa