Ms Judith
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 2,563
- 918
Kumbe humu ndani kuna wataalamu wa vina!!
hahaha kaka katavi, heri umekuwa mkweli,
katu kataa viwavi, vyenye kujaa kejeli,
hapa tu wengi wajuvi, wa vina pia na ngeli,
wakongwe na chipukizi, hao wa nzito kauli.