Poleni kwa mihangaiko ya wiki nzima wana JF.nauliza yule mtangazaji wa ITV Basil mbakile yuko wapi na anafanya nini?mwenye kujua na atujuze!
yupo abood tv moro juzi ametangaza
majibu matatu!
1: Yupo metro fm mza!
2: Yupo abood!
3: Alifariki!
Tushike lipi?
Poleni kwa mihangaiko ya wiki nzima wana JF.nauliza yule mtangazaji wa ITV Basil mbakile yuko wapi na anafanya nini?mwenye kujua na atujuze!
Yupo Metro FM Mwanza
yupo abood tv moro juzi ametangaza
mkuu umenikumbusha mbali sana,huyu bwana alipokuwa radio free africa miaka ile ya 95,na akina Gabriel yota mwasasu na Marehem Deo kiduduye,walikuwa majembe kweli.
Amefariki muda kitambo
Atakuwa analea wajukuu bila shaka wakati huu,mjumbe unatafutiwa huku popote ulipo fanya kama unajikuna wadau wakuone🚶Poleni kwa mihangaiko ya wiki nzima wana JF.nauliza yule mtangazaji wa ITV Basil mbakile yuko wapi na anafanya nini?mwenye kujua na atujuze!
Julius Nyaisanga,si kwamba alishatangulia mbele ya haki?!Yupo Abood TV ya Morogoro pamoja na Julius Nyaisanga.
Daah!Namsikia Radio Tumaini hapa anasona habari
Julius Nyaisanga alishatangulha mbele za haki zaidi za miaka minne iliyopita.Julius Nyaisanga,si kwamba alishatangulia mbele ya haki?!