African American
Senior Member
- Feb 6, 2012
- 165
- 62
Yule jamaa wa pete kibao aliyeporwa everything pale moro yuko wapi mbona kimya? uchunguzi wa wezi wake umefikia wapi?mwenye kujua atuambie
Akirudi huko breki ya kwanza kwa yule changu wake wa kitusi kule moro.
Kwa taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba kaenda India kwene matibabu ya moyo ya mke wake, usiniulize source
Mbona mkewe ni marehemu?
Kwani waislamu wanaowaga wanawake wangapi?....Mbona mkewe ni marehemu?