Tumaini Jipya
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 379
- 125
Daughter,sasa your other half atajuaje kwamba zimezidi au la?Na utajuaje kuwa compliments hizi zinatoka moyoni au la?
Kama hazifananifanani na Ukweli wa Jinsi ulivyo ujue kaongeza Chumvi!! Utaona kabisa sifa zake na Wewe ni Kama vile Kaskazini ilivyo mbali na Kusini!! Kwa mfano wewe unajijua kabisa kwamba ni Mtu wa Kisarani,kulipuka na majibu ya mkatao halafu mtu anakwambia "Mpenzi napenda sana Ukarimu na Uvumilivu wako Malkia Wangu"