OGOPASANA
JF-Expert Member
- Apr 30, 2009
- 262
- 144
Habari,
Nina wazo la kufungua ofisi ya kukopesha fedha kwa riba ndogo na masharti nafuu, na kupokea fedha kutoka kwa watu na kurudisha kwa riba baada ya mda flani. Mfano: kwa kila TSH 10,000 nitakayopewa nitaweza kumrejeshea Tsh 13,000.00 kwa aliyenikopesha, na kwa kila Tsh 10,000.00 nitakayomkopesha mtu atanirudishia Tsh 12,000.00 baada ya mda fulani.. Je biashara kama hii ni halali kisheria?
Nina wazo la kufungua ofisi ya kukopesha fedha kwa riba ndogo na masharti nafuu, na kupokea fedha kutoka kwa watu na kurudisha kwa riba baada ya mda flani. Mfano: kwa kila TSH 10,000 nitakayopewa nitaweza kumrejeshea Tsh 13,000.00 kwa aliyenikopesha, na kwa kila Tsh 10,000.00 nitakayomkopesha mtu atanirudishia Tsh 12,000.00 baada ya mda fulani.. Je biashara kama hii ni halali kisheria?