Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Mwalimu aliwaambia wanafunzi wake wachore picha ya mnyama tembo.Wanafunzi walijitahidi kuchora hiyo picha kwa ustadi tofauti isipokuwa john alichora nukta tu.Mwalimu alipomfikia kukagua picha yake akahoji picha aliyochora iko wapi?John akamwonyesha ile nukta huku akisema,'huyu ndo tembo niliyemchora sema tu yuko mbali balaa,ndo maana anaonekana mdogo kama nukta'.