Hata mimi huwa sielewi! Timu imecheza vizuri, washambuliaji wameshindwa kutumbukiza mpira nyavuni, hapa kocha utamlaumu kwa lipi? Au kwa kuwa hajawachezesha wachezaji (Tegete, Kisambale, Gumbo, n.k.), ambao tunadhani wangeisaidia timu kupata ushindi?
Mimi naamini kwenye mpira lolote laweza kutokea! Mechi ya marudiano Yanga wakicheza kama juzi na kuongeza bidii, YOTE YANAWEZEKANA! Cha muhimu kwa kocha ni kuwaanda kina tegete pia, ili kuwachanganya waarabu ambao tayari wameshawasoma kina Asamoah!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.