Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
Isje kuwa umeniota ili nikasaidie hela ya kumkomboa excellent, manake nyinyi wadada kwa sapraiz bana .
Nilikumiss mpaka nikakugoogle, kulaleki!
lol huyo keshazama wala mimi nimekuota coz nilikumic.Ulivyoni google uliona nini?