You think fat is ugly???

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
ATT47278.jpg




ATT47279.jpg




ATT47280.jpg




ATT47281.jpg




ATT47282.jpg




ATT47283.jpg




ATT47284.jpg




ATT47285.jpg




ATT47286.jpg



ATT47287.jpg
 
Mh! Hawa bado wanawaza kutembea??? Dunia Imefika Mbaaaaaaaali!
 
Mh! Huyu mpaka anatia kinyaa. Huwa napenda videmu mchongoma vyenye "AC" huyu amezidisha mno. unaweza kutoka baada ya mchezo na mawazo yakaanza hapo hapo mpaka unakufa. Mgonjwa huyo si bure!
 
Aagh nasikia kichefuchefu nataka kutapika najisikia vibaya kama yule jamaa aliyejisikia vibaya alipozama chumvini ahhhh puuu natapika jamaani
 
wazungu wanamambo ya ajabu,ndugu zetu wa somalia, japokuwa hawana chakula lakini hawajakonda hivi.
 
hawa ni wagonjwa sasa...ila unene mbaya jamani,mtu unakuwa huna mvuto hata kwa mkeo au mumeo jamani wavalia na kuvulia chooni inahusu!!!
 
inatia kichefuchefu lkini ahsante kwa kuonyesha upendo wa kweli kwa mpendwa wako... nahisi ilikuwa model show ya wahusika wenyewe. hii kali sijawai ona....!
 
Du asee dunia ina mambo, mi nawashangaa wanaowatumia kuonyesha mavazi yao, yananunuliwa kweli!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom