Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,757
Kha,tujifunze kuwa na shukrani waTanzania.Nadhani huu ni msaada tu(au ni mkopo?).Kama kiasi hiki kilichotolewa kitatumika vizuri/ipasavyo nadhani zitasaidia.Something is better than nothing!!!Hizo zilizoibiwa if possible we will recover some/all.Ila naona si sahihi pale tunaposaidiwa tukaanza kukebehi msaada huo.Unless if there are demands from him as a result of such an aid.
Umewahi kusikia tangazo moja la kibiashara la kutafuta mpangaji likisema hivi "you pay only one dollar for the first months rent" kwa pango ambalo gharama yake labda ni USD 1200. Wewe changamkia hiyo tenda na ingia kwenye mkataba, uone hiyo dola moja inakutoka puani.
Ukweli ni kuwa huu msaada ni kiduchu kwa viwango vya misaada lakini tusipo kuwa makini tutalipa fadhila hii kwa gharama kubwa. Tunachotakiwa kufanya baada ya kuipokea ni kuwa macho na any hidden agenda ya Wachina au mtu yeyote anayetupa msaada.
China hivi sasa wanatupa ndoana na sisi kama kawaida yetu, tunameza nzima nzima tena kwa mbwembwe. Huu msaada maana yake ni kuwa kila Mchina katupatia Tsh. 10/= na Si ajabu kila Mtanzania akaishia kurudisha Tsh. 100/= au zaidi kwa Mchina - kweli ombaomba hana haya wala akili.