Sentensi zote ziko sawa inategemea unaongea katika contest ipi..kama unamaanisha kuwa huwezi kutoa kile ambacho huwezi kuwa nacho basi kusema " You can't give what you can't have" ipo sawa..lakini kama unamaanisha kuwa huwezi toa kile usichokuwa nacho basi "You can't give what you don't have" ndio ipo sawa...Sijui muongeaji alimaanisha nini ila tusimuhukumu kwa sasa!Nemo dat quod non habet