Sonara
JF-Expert Member
- Oct 2, 2008
- 726
- 68
Kwa mara ya kwanza katika historia ya SMZ wamedhihirisha uwezo wao wakusimamia kile wanacho kiamini. sasa tusubiri nini kitafatia kutokana na kauli ya waziri Adam Malima kuhusiana na kuwepo kwa petrol bara na zanzibar ,jee SMZ itangia kichwa kichwa katika mtego huu ?
The government has said there is every sign that Tanzania will discover oil due to availability of sedimentary rocks in both the Mainland and Zanzibar.
The government has said there is every sign that Tanzania will discover oil due to availability of sedimentary rocks in both the Mainland and Zanzibar.