Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
- Thread starter
- #61
hivi sasa shostito cacico! haya ndo ya mzigo mzito mpe mnyamwez aubebe au? to me i think Young_Master anapaswa kujua kwamba humu jamvin ni utani tu bana asiyaweke kuwa ya ukweli manake akienda kwa stail hizo mbona ataumia kweli? ila na wewe ulianzaje....................?????????
Embu nisaidie kungwi gfsonwin...nadhani wakati namuoa cacico hukumfunda vizuri...kama ungekuwa umemfunda vizuri haya yote yasingetokea.
Last edited by a moderator: