Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,833
- 155,780
unaonaje tukiyaanzishia harakati?Kwa kweli haya mambo ya vipodozi nayachukia sana basi tu
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
unaonaje tukiyaanzishia harakati?
Tuwe wanaharakati wa kupinga vipodozi.
Bila ya hivo vipodozi mbona itakua balaa
Vipodozi ni kama kupaka rangi na stickers kwenye gari chakavu ili liuzike, kama gari liko bomba kuna haja gani ya kulipaka rangi na kufanya mengine.
Bila ya hivo vipodozi mbona itakua balaa
Vipodozi ni kama kupaka rangi na stickers kwenye gari chakavu ili liuzike, kama gari liko bomba kuna haja gani ya kulipaka rangi na kufanya mengine.
alaaa
Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
unaonaje tukiyaanzishia harakati?
Tuwe wanaharakati wa kupinga vipodozi.
kwa vumbi la bongo, bila make ups mbona tutatisha?????