You are Right BASHE

Chiligati alisema''BASHE SI RAIA'' na hawezi kupitishwa kugombea ubunge. Selelii kapoteza mvuto kwa wananchi. Kigwangala ndo atakuwa mgombea wetu wa Nzega.

Mkuu ulisharudishiwa uraia halafu umeanza vita ya mawe wakati unakaa kwenye nyumba ya vioo tena ya ghorofa inayomilikiwa na CCM?
Angalia wasije wakaku Abunuwasi. Watabomoa nyumba yao ya chini ili ubakie juu peke yako
 
ngoja niwape mistari ..... usoni kama watu moyono hawana utu imani imetoweka mabaya yanaongezeka........kwakweli kama unakipenda chama cha magamba utakua una upungufu fulani wa homoni za akili,maslahi ya wachache mbele na wananchi hakuna haja ya kuwafikilia mnajilipa kwanza,maslahi ya wale waliotuingiza madarakani kwanza mfumuko wa bei,mikataba mibovu etc ili mlipe fadhila....daaa inauma sana,INFACT I HATE CC...MALIZIA MWENYEWE.PEOPLE'Z POWEEEEEEEEEEEEEEEER.:A S 39::A S 39:
 
Hivi nielezeni hii theory ya makundi na kushindwa. Hivi mpiga kula anawezaje kutokelwa na matatizo yanayomkumba afu akelwe eti na makundi. Ushauri kwa CCm mkiendelea na upofu huu wa kutoona nini hasa matatizo yenu KUFA KITAKUFA HAKIKA chama chenu.Sio shabika wa chama lakinim nimpiga kura mwenye busara. Jaribu kujitahidi kuamini kuwa watanzania wanaelewa sana.
 
Hiyo ni indicator ya kuwang'oa Magamba 2015 kwani vijana wote wa umri wa miaka 15, 16, 17 na 18 ambao hawakupiga kura 2010 wote watakipigia chama cha magwanda. Walioipah ushindi CDM Arumeru ni wale waliochoshwa na Magamba.
 
View attachment 50790

[h=6]Ndg zangu Kwanza Nitumie nafasi Hii Binafsi kuwapongeza Chadema kwa Ushindi Wa Arumeru Mashariki,Kiwira,Kirumba,Liziboni na Pia Cuf kwa Ushindi Wa Kata ya Tanga

Nimeamua kufanya hivi kwa Misingi ya kidemokrasia ni wapongeze mmepewa heshima hiyo watumikieni

Ninawapongeza Pia kwakua uchaguzi huu Kama Viongozi Wa CHAMA changu Watatumia Busara basi hili nifunzo kubwa na Nina washaukuru CDM Matokeo haya kutupa Ishara kuwa Kaskazini inaanza kupotea mikononi Kwetu,Kusini Nyanda za Juu inaanza kupotea,Kanda ya Ziwa inaanza kupotea hii ni Alarm kwa CHAMA changu umewadia wakati kwa ujumbe huu Viongozi wakuu warudi ktk Round Table kujadili upya na kutazama Kama makundi yetu yakaisaidia CHAMA

Kwa Matokeo haya Kanda ya Ziwa Alikuwepo Samwel Sitta,Kwa Maana ya KIRUMBA,Mbeya Alikuwepo Mama Anne Kilango,kwa Maana ya Kiwira, Arumeru Alikuwepo Mzee MKAPA,Mzee Mkama,Mzee Lowasa,Ndg yangu Nape ,Liziboni Dk Nchimbi na maaneo haya yote Tumeshindwa umewadia wakati Wa KUJITAFAKARI na kujiangalia kwa kina na si kuja na majibu Kama Yale tuliokuja nayo Baada ya Uchaguzi Mkuu 2010,Tunatakiwa kuja na MAJAWABU

Ninadhani demeokrasia imeheshimika na CCM tumekua tukisahau wajibu wetu Wa kujadili matatizo ya watu toka mwaka 2007 Mpaka sasa 2012 ,wananchi walitupa 1st Workup call 2010 hatukuamka and this is a 2nd Workup Call hatuna Budi kuwashukuru wananchi bcs Wametupa 2nd chance ya kuamka Tujitafakari UPYA

Nimelizie kuwwapongeza CUF na CDM kwa Ushindi wao niwatakie kila la kheri Asanteni kwa kutuamsha Mara ya Pili! [/h][h=6]Hussein Bashe Bashe

[/h]

Bashe ukiambiwa si mtanzania unasema majungu lakini kiswahili chako kina matatizo, unaweka nukta hata neno hujakamilisha, lakini kuwa jasiri hamia cdm au anzisha chama kungangania ccm watakuja wakupe poloniam bure
 
Ukweli watu wamesema mengi sana na mazuri,napenda kuhuliza bashe nikiwa nalengwa na machozi ........1.angeshinda sioi kwa uchakachuaji ungesemaje? 2.unaona ccm inawatendea watanzania mema? 3.nini kilikusukuma kuingia ccm? 4.nchi gani inafanana na tz ulimwenguni?(elimu mbovu,hakuna viwanda,umaskini juu,maliasili kibao,demokrasia zero,nk) ...........................................................................................kwa kweli bashe unadharau sana kwa wa tz waliokwama bora urudi kwenu,hatutaki pongezi zako za kinafiki wakati ulichanga pesa za uchakachuaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom