Bitabo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 1,900
- 687
Chiligati alisema''BASHE SI RAIA'' na hawezi kupitishwa kugombea ubunge. Selelii kapoteza mvuto kwa wananchi. Kigwangala ndo atakuwa mgombea wetu wa Nzega.
Mkuu ulisharudishiwa uraia halafu umeanza vita ya mawe wakati unakaa kwenye nyumba ya vioo tena ya ghorofa inayomilikiwa na CCM?
Angalia wasije wakaku Abunuwasi. Watabomoa nyumba yao ya chini ili ubakie juu peke yako
Mkuu ulisharudishiwa uraia halafu umeanza vita ya mawe wakati unakaa kwenye nyumba ya vioo tena ya ghorofa inayomilikiwa na CCM?
Angalia wasije wakaku Abunuwasi. Watabomoa nyumba yao ya chini ili ubakie juu peke yako