You are Right BASHE

hakuna shetani mwema,shetani ni shetani tu!kawapongeze ccm b cuf,.usituzuge na machozi ya mamba,.unaweza kujiita mtetea maslahi ya taifa ukiwa ndani ya ccm?nice try but you failed to ruin my happiness,one down,more to go.
 
Mnafiki mkubwa sana huyu!
Afaham kuwa tokea Igunga ilikuwa ndo 2nd call.
Sasa hivi ni utekelezaji tu!!
 
Hakuna kitu kama hicho, wewe Bashe naona bado unaendelea na matusi mazito kwa watanzania, Na katika hili unaombwa kutuomba radhi.

Ulichokifanya wewe ni kimbelembele cha kutoa kauli hii ili uonekane muungwana, au una au umebakiwa na hekima kiasi kichwani mwako na ni jitihada za kujivua jinamizi la kushindwa, wewe ulikuwa arumeru ukifanya kampeni, kama wakati wote wa kampeni na kabla ya Kampeni of course,ulikuwa haujui kwamba Watanzania hatuitaki CCM na kama ni kweli matokeo ya Arumeru ndio yamekufumbua macho kwamba CCM haitakiwi nchi hii basi wewe ni mmoja kati ya watu vilaza sana wenye lika kama lako.

Nani kakumbia kwamba watanzania wamekasirishwa na makundi yaliyo ndani ya CCM, nani? Funguka Macho we mgeni, CCM mmeonyesha mshikamano mkubwa sana Arumeru Mashariki, Nape Niyauwe amepnda Jukwaa moja na Manywele, what a solidarity? mbona wanaarumeru hawakudanganyika.

CCM moja au yenye makundi haihitajiki Tanzania, tena umeniudhi sana, na hapa umezidi kunithibitishia kwamba wewe sio Mtanzania, watanzania wanalilia elimu, huduma za afya, unafuu wa bei na upatikanaji wa vyakula wewe unasema wanachukizwa na mkundi.

Kweli akutukanaye akuchagulii tusi, nashukuru kwa kuniharibia furaha yangu ya ushindi.

Hilo ni kweli mkuu, Bashe aache unafiki.
 
Nami nikupongeze wewe Bashe kwa kuipongeza Chadema. Unaakili sana na uwezo kisiasa lakini wenzio CCM hawakutaki. TAFAKARI CHUKUA HATUA.

Aaa jamani kama ni mzalendo wa kweli angekuwa mCDM toka kitambo, mpaka aone chama chake kinaelekea kufulia ndio anaanza kujisogeza..lakini 'asante kwa pongezi'..
 
Ccm oye! (in sioi voice) ah ah ah, leo raha sanaaaaaaaaaa...........kuwa mwanamabadiliko.
 
Ndugu zangu Wanachadema, hivi lipi jema? Bashe amewapa HONGERA yet mnamrukia na Kama angesema mmetumia vitisho na kuwalazimisha watu hasa wanawake na wazee Ili wawape kura Kama ilivyokuwa kule musoma mngesemaje? Mimi nadhani utamaduni wa kukubali matokeo unajengeka na mtu unapopwe HONGERA Hakuna haja ya kumtafuta mchawi, ushindi mmepata sass mchawi Bashe anatokea wapi, hivi tatizo lake yeye kuwapa HONGERA kwa ushindi kwa sababu ni mwana ccm ndio dhambi yake, naomba tukomae sasa na tuwe wanasiasa wa kweli , amesema ni heshima mmepewa na Imani watumikieni Watu, dhambi iko wapi, AMA kuwaambia Viongozi wake kwamba ni chnagamoto kwa chama chake ni dhambi. Naomba Kama tumeamua kucheza game la politic basi nivyema tukubali tofauti ya mawazo.
 
Bashe amesema kweli ila aangalie tu na yeye asije akapata cheo maarifu cha GAMBA halafu wakajenga hoja ya kumvua ndani ya chama. Kwa ujumla hatutegemei jipya lolote kutoka kwa chama ambacho kinaongozwa na wastaafu (kwa maana ya umri wa miaka 60 au zaidi) toka kwa mwenyekiti (over 60), makamu wa mwenyekiti bara (over 70), Makamu mwenyekiti Zanzibar (over 60), Katibu Mkuu (over 60) n.k. Hawa enzi zao zilishapita na ndio waliotufikisha hapa tulipo kiuchumi, kisiasa na kijamii. Wanachotakiwa kufanya kwa sasa ni kimoja tu kumuenzi muasisi wa CCM kwa KUNG'ATUKA.

Ukiangalia age profile ya kamati kuu ya CCM ndio unaishiwa nguvu kabisa imejaa watu ambao walitakiwa kuwa kwenye HOSPICE wakisubiri mwenyezi afanye maamuzi mepesi ya kuwapumzisha. Hivi unatarajia kampeni inayoongozwa Mkapa, Wassira, Mukama, Lowassa, Ole sendeka, Ole Medeye na akina Mwigulu na Lusinde itawavutia vijana kweli kukipigia kura CCM?

Kwa bahati mbaya zaidi hawa wazee wameathiri mtazamo wa vijana ndani ya chama ambao ukiwasikiliza kwa makini unagundua kuwa ni vijana kwa muonekano wa nyuso na miili yao lakini ni wazee wastaafu kwenye bongo zao. Sikutarajia, kwa mfano, kumsikia NAPE akidai kuwa CCM itatawala milele ikiwa ni majibu kwa baadhi ya wazee wenye nia njema ambao walikuwa wakiitahadharisha CCM kuwa inaoelekea siko.

Kwa ufupi mageuzi yanayotakiwa ndani ya CCM ni makubwa mno sawa na kuanzisha chama kipya ndani ya chama. Wazee wa CCM ambao kimsingi ndio wanaotarajiwa kufanya mageuzi hayo kamwe hawawezi kwa sababu umri wao hauwaruhusu. Akina Bashe, Nape, Makamba, Mwigulu, Lusinde na wengineo ndio wanaotakiwa kuleta mageuzi ikiwa tu watafikiri kama vijana na sio kufuata mawazo yaliyochoka ya wazee wao.
 
Huyo Bashe alishiriki katika hujuma dhidi ya mtiririko wa haki ya kidemokrasia huko Arumeru. Alitumia gazeti lake la RAI kupenyeza opinion poll za uongo kuonyesha CCM ingeshinda kwa asilimia 68 -- kumbe ilikiwa ni maandalizi kwa CCM+NEC kuiba kura! kulikuwa hakuna waandishi wa RAI waliokwenda kufanya opinion poll kule. Aache unafiki.


Sera ya kuuma na kupuliza.
 
washee vipi chali yangu?
mbona lusinde alikuwa anamwaga matusi kama katoka mirembe vile?ndo sera ya chama chako kwa sasa?au ndo hayo makundi uliyokuwa unasema?

naomba ufunguke kidogo kuhusu lusinde.
 
BAshe ni wale wale tuu nani asiyemjua jamani, Huu ni unafki wa kupitiliza eti Hongereni Huo Moyo wa hongera unautowa wapi BASHEMwizi mkubwa wa haki hasa za wafanyakazi wa NEW Habari, kwa hili unaanza kutafuta reconciliation na Vinaja wa Gwanda ehh, sisi hatuna choyo njoo tutakupokea lakini ujue unafki na majungu yako uyaache huko huko wa majizi wenzio mbwa weeee
 
Bashe wewe unataka kujipa sifa ambayo huna hata kidogo,chama chenye kiburi kiasi hicho ambacho kila wakati kinapewa wake- up call mara nyingi hivyo na wananchi wake halafu kinapuuzia huwezi kusema kwamba eti hii ndiyo nafasi sasa kitaamka kianze kuwatumikia wananchi wake.
Kwa taarifa yako ccm ndo imefika ukingoni,hakuna cha kujipanga upya wala kuamka,na mimi nakushangaa wewe bado umo kwenye hiki chama,au ndo hofu ya uraia inakusumbua.Trust me we are making it 2015,stay watching cdm steps.
 
Bashe CCM siyo Mungu kwako,siyo mama wala baba yako.Kama unadhamira ya dhati basi jiunge na wapambanaji wa kweli kwa lengo la kulikomboa taifa kutoka kwa mafarao wa CCM!Siyo leo unasema hivi halafu kesho unawaambia wandishi wa magazeti yenu na Tbc yenu kuponda ukweli!yuko wapi Tido Muhando?eti kisa alijitahidi kutoa wigo sawa wa habari wakati wa uchaguzi 2010!Magamba hamfai kabisa!

Naomba Bashe kabla hajajiunga na WAPAMBANAJI kama unavyoshauri,ajitenge kabisa na Rostamu Aziz bin Rasul!
 
Hongera sana Bashe,siasa za kistaarabu hivi ndizo zinazotakiwa . Kama utakubalianana itikadi ya chama changu,hamia chadema tufanye kazi.Chama kilichothubutu kusahau kuwasikiliza wananchi (kama ulivyosema) kwa muda wa miaka 5 (2007-2012) hakistahilimandate,kime-cease kuwa chama cha siasa

Kama utasukumwa na uzalendo wa dhati kwa taifa letu na kama umekosa imani kabisa na chama chako(of course hakina tumaini) basi ungana na upande wa harakati,ungana na chama chenye rekodiya kusikiliza wananchi wake.Najua kwa mawazo yako haya,chama chako kitaanza kukuona adui kwani CCM hakitaki tena fikra mpya.Karibu kamanda

BEN
Kuna neno umelisema fikra mpya hakika hilo ndilo tatizo kubwa linalokisumbua chama cha mapinduzi,hawahitaji mawazo mapya na pindi ukaonekana una ujio wa mawazo mapya basi wewe utachukuliwa kama mpinga ujima.

nampongeza Bashe,kwani ktk ukomavu wa siasa mpinzani huhitaji kutoa pongezi kwa mwenzake pindi afanyapo vizuri,hili limetokea senegan kwa mzee wade na kila nchi imempa pongezi kwa simu aliyoipiga kwa mpinzani wake
 
Bashe amesema kweli ila aangalie tu na yeye asije akapata cheo maarifu cha GAMBA halafu wakajenga hoja ya kumvua ndani ya chama. Kwa ujumla hatutegemei jipya lolote kutoka kwa chama ambacho kinaongozwa na wastaafu (kwa maana ya umri wa miaka 60 au zaidi) toka kwa mwenyekiti (over 60), makamu wa mwenyekiti bara (over 70), Makamu mwenyekiti Zanzibar (over 60), Katibu Mkuu (over 60) n.k. Hawa enzi zao zilishapita na ndio waliotufikisha hapa tulipo kiuchumi, kisiasa na kijamii. Wanachotakiwa kufanya kwa sasa ni kimoja tu kumuenzi muasisi wa CCM kwa KUNG'ATUKA.

Ukiangalia age profile ya kamati kuu ya CCM ndio unaishiwa nguvu kabisa imejaa watu ambao walitakiwa kuwa kwenye HOSPICE wakisubiri mwenyezi afanye maamuzi mepesi ya kuwapumzisha. Hivi unatarajia kampeni inayoongozwa Mkapa, Wassira, Mukama, Lowassa, Ole sendeka, Ole Medeye na akina Mwigulu na Lusinde itawavutia vijana kweli kukipigia kura CCM?

Kwa bahati mbaya zaidi hawa wazee wameathiri mtazamo wa vijana ndani ya chama ambao ukiwasikiliza kwa makini unagundua kuwa ni vijana kwa muonekano wa nyuso na miili yao lakini ni wazee wastaafu kwenye bongo zao. Sikutarajia, kwa mfano, kumsikia NAPE akidai kuwa CCM itatawala milele ikiwa ni majibu kwa baadhi ya wazee wenye nia njema ambao walikuwa wakiitahadharisha CCM kuwa inaoelekea siko.

Kwa ufupi mageuzi yanayotakiwa ndani ya CCM ni makubwa mno sawa na kuanzisha chama kipya ndani ya chama. Wazee wa CCM ambao kimsingi ndio wanaotarajiwa kufanya mageuzi hayo kamwe hawawezi kwa sababu umri wao hauwaruhusu. Akina Bashe, Nape, Makamba, Mwigulu, Lusinde na wengineo ndio wanaotakiwa kuleta mageuzi ikiwa tu watafikiri kama vijana na sio kufuata mawazo yaliyochoka ya wazee wao.

Hapo umenena ukweli. Kutokana na wazee kuendelea kung'ang'ania madaraka (huku wakiwa kwenye makundi yanapingana) ndani ya CCM kinachosubiriwa ni chama hicho kuwafia mikononi mwao. Ni suala la muda tu.
 
Huyu ni miongoni mwa masomali ya Tabora, wanaitia najisi inchi yetu, waende kwao Mogadishu
 
Just another opportunist, (a person who takes a bath after falling accidental in a river)

Huyu naye, mwacheni aogelee na suti yake, chezeiya kihoro cha mtandao kuendelea kuwa dahifu siku baada ya siku.
 
Hakuna kitu kama hicho, wewe Bashe naona bado unaendelea na matusi mazito kwa watanzania, Na katika hili unaombwa kutuomba radhi.

Ulichokifanya wewe ni kimbelembele cha kutoa kauli hii ili uonekane muungwana, au una au umebakiwa na hekima kiasi kichwani mwako na ni jitihada za kujivua jinamizi la kushindwa, wewe ulikuwa arumeru ukifanya kampeni, kama wakati wote wa kampeni na kabla ya Kampeni of course,ulikuwa haujui kwamba Watanzania hatuitaki CCM na kama ni kweli matokeo ya Arumeru ndio yamekufumbua macho kwamba CCM haitakiwi nchi hii basi wewe ni mmoja kati ya watu vilaza sana wenye lika kama lako.

Nani kakumbia kwamba watanzania wamekasirishwa na makundi yaliyo ndani ya CCM, nani? Funguka Macho we mgeni, CCM mmeonyesha mshikamano mkubwa sana Arumeru Mashariki, Nape Niyauwe amepnda Jukwaa moja na Manywele, what a solidarity? mbona wanaarumeru hawakudanganyika.

CCM moja au yenye makundi haihitajiki Tanzania, tena umeniudhi sana, na hapa umezidi kunithibitishia kwamba wewe sio Mtanzania, watanzania wanalilia elimu, huduma za afya, unafuu wa bei na upatikanaji wa vyakula wewe unasema wanachukizwa na mkundi.

Kweli akutukanaye akuchagulii tusi, nashukuru kwa kuniharibia furaha yangu ya ushindi.

tukiwa na watu kumi wenye akili pumba na mawazo mgando kama ww wallahi leo tusingekua hapa tunajadili siasa.....hii comment yako imekaa kibaguzi....ushindwe kilaza kasoro mk.a
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom