Yote maisha! Wengine tumefikia hapa tulipo sababu kuna wale walioamuakujitoa Muhanga kwa mapendo. Mama huyo ana uza vitumbua vya moto moto aweze lipa ada ya watoto wake.
Picha hiyo imenikumbusha mbali sana....Ngoja niongee na mama yangu haraka.
Halafu kuna mijitu inawathubutu kuwatukana mama zao....
Picha hiyo imenikumbusha mbali sana....Ngoja niongee na mama yangu haraka.
ndio mana nikickiaga anaumwa mafua mie naumwa malaria kabisa, wacha na mie nikamtumie mafuta ya kimbo...
Hivi bado yapo hayo? Niliyaona Museum miaka kadhaa nyuma
Kuna siku nilikutana na mama mmoja mitaa ya Uswazi nikaoishi anachoma maandazi! Nikanunua 2 nishushie na soda nikampa 1000, nikamwambia mama chenji baki nayo...hakuamini kwa mshangao!
Mkuu Mch. na wewe ni mmoja wa waliokuwa wanatetewa na the so called mtoto wa mkulima kuhusu posho nini?Kuna siku nilikutana na mama mmoja mitaa ya Uswazi nikaoishi anachoma maandazi! Nikanunua 2 nishushie na soda nikampa 1000, nikamwambia mama chenji baki nayo...hakuamini kwa mshangao!
Hii imenigusa sana, once nikinunua kitu kwa mama yoyote nitatoa sadaka, wakati mwingine tunajenga sifa baa, lakini naamini huyu uliyemwambia keep change alifurahi na lazima alisema neno moyoni mwakeKuna siku nilikutana na mama mmoja mitaa ya Uswazi ninakaoishi anachoma maandazi! Nikanunua 2 nishushie na soda nikampa 1000, nikamwambia mama chenji baki nayo...hakuamini kwa mshangao!
Hii imenigusa sana, once nikinunua kitu kwa mama yote nitatoa sadaka, wakayi mwingine tunajenga sifa baa, lakini naamini huyu uliyemwambia keep change alifurahi na lazima alisema neno moyoni mwake